Video: Na 17: Ni kosa kujali huduma za kiroho na kusahau majukumu ya kifamilia
Maisha bora Na 17: Ni kosa kujali huduma za kiroho na kusahau majukumu ya kifamilia
Kuna waumini wengine wanajali kutumika vizuri kanisani lakini nyumbani hawajali kutoa huduma bora. Mtu anaweza kujali sana usafi wa kanisani lakini nyumbani hataki kuoga. Mtu anapotaka KUPENDWA ajitahidi KUPENDEZA. Kama kanisa tujali pia mipango ya familia za waumini na kuiheshimu.
Bofya usikilize ujumbe huu utaelewa zaidi.
Dr. Lawi Mshana, Freelance Facilitator
& Public Speaker, +255712924234, Tanzania