Video: Mwaliko wa maombezi Ntenga na Kighare, Same
KARIBU MAOMBEZI NTENGA NA KIGHARE,
SAME, KILIMANJARO
Tupo katika milima ya Upareni kuanzia leo Jumatano hadi
Jumapili (19-23/3/2025) kwa ajili ya maombezi yasiyo na mipaka yoyote ya
kidini. Ibada ya maombezi itafanyika kuanzia saa 10 jioni katika kituo cha
maombi cha TLMC karibu na nyumba ya mwalimu mkuu wa Ntenga sekondari.
Unayehitaji ushauri binafsi utapangiwa muda wa asubuhi.
Kwa huduma maombezi mbashara (LIVE) katika mtandao wa TikTok
shiriki saa 3.00 usiku
Karibu sana na mjulishe ndugu yako.
Dr. Lawi Mshana, 0712-924234