KUJUA JAMBO JEMA HALAFU HULITENDI NI DHAMBI
Yakobo 4:17 “Basi yeye ajuaye
kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.”
Kuna aina kuu mbili za dhambi 1. Kufanya
yasiyokupasa (sin of commission) kv uzinzi, wizi nk na 2. Kutofanya
yanayokupasa (sin of omission) kv kutofanya uanafunzi, kutomtolea Mungu nk.
Jipatie video na audio za kukuandaa katika
ushuhudiaji na uanafunzi kwa kuwasiliana nami. Kumbuka hili sio hitaji la
dhehebu lako bali ni la kwako binafsi.
Dr Lawi Mshana, 0712-924234;
mshanalawi@gmail.com