
1. Utapata Makala zikiwa katika MAKUNDI kv huduma za jamii (makala
43), mafanikio (64), mahusiano (19), uponyaji na ukombozi (34), afya (10), ndoa
(10) nk.
2. Utapata orodha ya mafunzo yanayopatikana kwa njia ya
vitabu, audio na video.
3. Utaweza kuniuliza swali KIBINAFSI au kutoa maoni na
ushuhuda wako.
4. Utaweza kubofya sehemu iliyoandikwa Translate ambapo
utatafsiriwa masomo kwa lugha unayotaka.
5. Utaweza kupakua (download) App yangu ili iwe rahisi zaidi
kujifunza kupitia simujanja.
6. Utatumia hii Blog kama maktaba kwa ajili ya kuandaa
masomo mbalimbali (ili mradi usitumie makala hizi kibiashara bila ruhusa kwa
maandishi).
Karibu sana na kumbuka ku-FOLLOW hii blog! Na pale
unapojaliwa usisahau kutoa sadaka ya upendo ili huduma hii iendelee kuwafikia
wengine bila gharama.
Dr. Lawi Mshana, +255712-924234 (simu na wasap)