Ticker

6/recent/ticker-posts

DONATE TO THE NEEDY WITH THINGS YOU DON'T USE NOW (CHANGIA WASIOJIWEZA KWA VITU USIVYOVITUMIA KWA SASA)


 DONATE TO THE NEEDY WITH THINGS YOU DON'T USE NOW

(CHANGIA WASIOJIWEZA KWA VITU USIVYOVITUMIA KWA SASA)

A young woman from Dar has donated her clothes to the needy. This initiative encourages citizens to remember that even if we have needs, we also have something to share. Let's not let strangers who send second-hand goods to help the community take these blessings away.

Beyond Four Walls’ mission is to empower the community to overcome vulnerability, poverty, and dependency using participatory development approaches.

Welcome.

CHANGIA WASIOJIWEZA KWA VITU USIVYOVITUMIA KWA SASA

Dada kutoka Dar ametuma nguo zake kama mchango kwa ajili ya wasiojiweza. Mpango huu ni wa kuhamasisha wananchi kwamba hata kama tuna mahitaji, hata sisi tuna kitu cha kuwagawia wahitaji. Tusiache baraka hizi zichukuliwe na wageni wanaotuma mitumba kwa ajili ya kusaidia jamii.

Dhima ya shirika letu la Beyond Four Walls ni kujengea uwezo jamii ishinde uhatarishi, umaskini na utegemezi kwa kutumia mbinu shirikishi za maendeleo.

Karibu sana.

Dr. Lawi Mshana, +255712924234, Korogwe, Tanga, Tanzania

Post a Comment

0 Comments