Ticker

6/recent/ticker-posts

SHULE BINAFSI PIA ZIMETUPA USHIRIKIANO MKUBWA KATIKA TATHMINI


 SHULE BINAFSI PIA ZIMETUPA USHIRIKIANO MKUBWA KATIKA TATHMINI

Leo tumefanya tathmini kwa wanafunzi na walimu wa shule binafsi baada ya kumaliza kufanya tathmini katika shule za umma. Tunashukuru sana kwamba tathmini yetu imegusa makundi yote muhimu.

Dr Lawi Mshana