Ticker

6/recent/ticker-posts

Kanuni za Mafanikio Na 2: Kutoa na kupokea (kutoa zaka peke yake hakusababishi baraka)


Kanuni ya Mafanikio Na 2: Kutoa na kupokea 

(kutoa zaka peke yake hakusababishi baraka)

Kuna kanuni inayoitwa “Kutoa na Kupokea” au “Kupanda na Kuvuna”. Kanuni hii iko nje ya kanuni ya kutoa zaka. Kutoa zaka kunakusaidia kufungua madirisha na kukemea walaji wasio rasmi.

Lakini pia upandaji au utoaji huu sio kanisani peke yake bali kupanda pia katika maisha ya watu.

Dkt. Lawi Mshana, Freelance Facilitator & Public Speaker, +255712924234, Korogwe, Tanga, Tanzania